PataNyumba.tz
← Nyuma
TSh 95M
Kigamboni · Nyumba
Kuuza
Vyumba
2
Bafuni
1
Eneo
Kigamboni
Ilipochapishwa
Jun 7, 2026
Vifaa
mastersebuledining roomjikofensigetialuminium windowsmajiumeme 24usalama
Dalali
@bomarealestate_tanzania
Boma Real Estate Tanzania
Wasiliana na Dalali (WhatsApp)Tazama chapisho la awali kwenye Instagram →
Maelezo ya awali
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, MIKWAMBI (KARIBU NA FAN CITY) 🏡

Unatafuta nyumba ya kisasa, kubwa na tayari kwa kuhamia? Hii ndiyo fursa yako!

✨ Nyumba mpya kabisa
✨ Ipo ndani ya fensi na geti tayari
✨ Vyumba 2 vya kulala (vyote Master)
✨ Sebule kubwa sana
✨ Dining Room
✨ Jiko la kisasa
✨ Public Toilet
✨ Aluminium za kisasa nyumba nzima

✅ Maji ya uhakika (Shindili)
✅ Umeme Saa 24
✅ Usalama wa kutosha
✅ Kilomita 1 tu kutoka barabara kuu
✅ Kiwanja chenye ukubwa wa Square Meter 500

📍 Mikwambi, Kigamboni – Upande wa Fan City

💰 Bei: Tsh 95,000,000/= Tu
🤝 Mazungumzo yapo

Nyumba hii imekamilika kwa kiwango kizuri sana, haina kazi yoyote ya kufanya. Ni suala la kuhamia na kuanza maisha mapya katika mazingira bora na salama.

📞 Call/WhatsApp: 0799702068

🏡 BOMA REAL ESTATE
✨ Kutoka Kutafuta Hadi Kuhamia ✨

Nyumba zinazofanana