PataNyumba.tz
← Nyuma
TSh 800,000 / mwezi
Mbezi Beach · Nyumba
Kupanga
Vyumba
4
Bafuni
1
Eneo
Mbezi Beach
Ilipochapishwa
Jun 2, 2026
Vifaa
stand alonemaster bedroomsebulejikofenceparkinggaragewater tankdawascoluku
Dalali
@prime_homes_tz
Prime Homes TZ
Wasiliana na Dalali (WhatsApp)Tazama chapisho la awali kwenye Instagram →
Maelezo ya awali
🏡 STAND ALONE MPYA YA KISASA INAPANGISHWA – MBEZI MAGARI SABA 🏡

💰 Kodi: TZS 800,000 x 6

📍 Location: Mbezi Magari Saba
🚶 Dakika 5 tu kwa miguu kutoka Morogoro Road

✨ SIFA ZA NYUMBA ✨

✅ Vyumba 4 vikubwa vya kulala (Vyote Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Jiko kubwa lenye makabati ya kutosha
✅ Public Toilet ndani
✅ Tenk la maji lita 5,000
✅ Maji ya DAWASCO yanapatikana (Mita yako)
✅ Umeme wa LUKU (Mita yako)
✅ Ndani ya fence
✅ Parking Space kubwa
✅ Garage ya kulaza gari

📌 Mafundi bado wanaendelea na kazi za mwisho.
🏠 Nyumba itakuwa tayari kuhamia tarehe 15/06/2026.

⚠️ Dalali: Mwezi mmoja baada ya kupata nyumba
⚠️ Service Charge ya kuonyesha nyumba: TZS 30,000

📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kupanga muda wa kuja kuiona.[+255 686628195

#NyumbaInapangishwa #MbeziMagariSaba #DarEsSalaam #PropertyTZ #PrimeHomesTZ

Nyumba zinazofanana