PataNyumba.tz
← Nyuma
TSh 300,000 / mwezi
Tegeta · Apartment
Kupanga
Vyumba
1
Eneo
Tegeta
Ilipochapishwa
Jun 8, 2026
Vifaa
master bedroomsebulejikopublic toiletmaji ya dawascoumemesalama
Dalali
@bomarealestate_tanzania
Boma Real Estate Tanzania
Wasiliana na Dalali (WhatsApp)Tazama chapisho la awali kwenye Instagram →
Maelezo ya awali
🏡 NEW APARTMENT INAPANGISHWA – TEGETA KIBAONI 🏡

Je, unatafuta apartment mpya, ya kisasa na yenye mazingira mazuri ya kuishi?

Tunayo apartment nzuri inayopatikana Tegeta Kibaoni yenye:

✅ Chumba 1 Master Bedroom
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Jiko lenye nafasi ya kutosha
✅ Public Toilet
✅ Maji ya DAWASCO
✅ Umeme wa kujitegemea
✅ Mazingira salama na tulivu

💰 Kodi: Tsh 300,000/= kwa mwezi
📌 Malipo ya miezi 6

📍 Tegeta Kibaoni

Hii ni fursa nzuri kwa mtu binafsi, wanandoa au familia ndogo wanaotafuta makazi ya kisasa kwa gharama nafuu.

📞 Call/WhatsApp: 0799702068

🏡 BOMA REAL ESTATE
✨ Kutoka Kutafuta Hadi Kuhamia ✨

Nyumba zinazofanana