PataNyumba.tz
← Nyuma
TSh 400,000 / mwezi
Kimara · Apartment
Kupanga
Vyumba
4
Bafuni
1
Eneo
Kimara
Ilipochapishwa
May 30, 2026
Vifaa
master bedroomsebulediningjikotilesmajiumemeparkingfensi
Dalali
@prime_homes_tz
Prime Homes TZ
Wasiliana na Dalali (WhatsApp)Tazama chapisho la awali kwenye Instagram →
Maelezo ya awali
🏠✨ ───────────── ✨🏠
🏡 APARTMENT KUBWA YA KIFAMILIA INAPANGISHWA 🏡
✨ ───────────── ✨🏠

🔥 Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye mazingira mazuri ya kuishi? Hii hapa nafasi yako ya kupata makazi bora kwa familia yako kwa bei nafuu.

🏠 Nyumba ina:

🛏️ Vyumba 4 vya kulala
👑 Chumba 1 Master Bedroom
🛋️ Sebule kubwa sana pamoja na Dining
🍽️ Jiko kubwa la makabati na Store
🚻 Choo cha familia
✨ Tiles sehemu nyingi za nyumba
💧 Maji yanapatikana muda wote
⚡ Umeme wa LUKU wako binafsi
🚗 Parking Space kubwa sana
🛡️ Ipo ndani ya fensi salama

📍 LOCATION: KIMARA MWISHO
🛣️ Umbali KM 1.5 kutoka barabara kuu
🏍️ Bodaboda Tsh 1,000 tu
➡️ Upande wa kushoto ukiwa unaelekea Mbezi

💰 KODI: Tsh 400,000 × 6 Miezi

🔥 Bei ni rafiki sana ukizingatia ukubwa wa nyumba na eneo ilipo.

📞 Kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kuja kuiona nyumba.

💵 Service Charge ya kuona nyumba: Tsh 20,000
🤝 Ukipenda nyumba, dalali hulipwa kodi ya mwezi mmoja baada ya kukamilisha malipo ya nyumba.

✨ ───────────── ✨
🏠 PRIME HOMES TZ 🏠
"Tunakuunganisha na makazi bora"
✨ ───────────── ✨

#KimaraMwisho
#NyumbaInapangishwa
#DarEsSalaam
#PrimeHomesTZ
#ApartmentForRent

Nyumba zinazofanana